MwanaKijiji.COM

Wednesday
Feb 08th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Business arrow Biashara arrow Programu za maendeleo au ulaji?
Programu za maendeleo au ulaji?
(1 vote)
Written by M.M. Mwanakijiji   
Tuesday, 07 April 2009
ExclusiveKuna miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa/itatekelezwa na wizara mbalimbali na taasisi mbalimbali kwa mwaka huu wa fedha. Ukipata nafasi ya kupitia taarifa hiyo ya mipango mbalimbali ya serikali utaweza kuona jinsi gani wakubwa wa nchi yetu wanavyojua jinsi ya kugawa fedha kwa kufuata “kipaumbele”. Utagundua mara moja kuwa tatizo la Tanzania siyo fedha! Kuna tatizo kubwa zaidi ambalo ni vigumu kuliondoa.

 

Mojawapo ni mradi wa “Deepening Democracy in Tanzania Program”. Mradi huu umetengewa fedha nyingi katika sehemu tatu:

Fedha zilizotengwa kwa ajili ya mradi huu (unatakiwa kutekelezwa mwaka huu wa 2008/2009) ziko hivi:

Msajili wa Vyama vya Siasa: zimetengwa kiasi cha Tsh 178,954,200
Mfuko wa Bunge: 355,232,900
Tume ya Uchaguzi: 596,362,400

Taarifa zenyewe ziko kwenye forums, upande wa Uchumi. 
 
 http://www.mwanakijiji.com/images/stories/habari/gallery/miradi20008.jpg
 
Kumbuka kuwa mipango hii inaandaliwa wakati ule ule wa bajeti? Ina maana gani kwenye suala la Dowans? 
 
http://www.mwanakijiji.com/images/stories/habari/gallery/miradi20008-2.jpg

 

 Swali jingine: What on the earth is going on? Do these people have short memories or selective memories?  Or beside not having very good lawyers probably we don't have very good planners either?

 

M.M.

Comments (2)add comment
hofstede: ...
Hawa jamaa kwenye mawazo yao ni kwamba " Kuna hela hazina kazi, je tutanyaje ili zionekane zimetumiwa kisheria?" Hapo ndiyo mabwana mipango wetu wanapokuna vichwa na kuja na majedwari ya kiwiziwizi kama haya ili kuwaridhisha donors.

mahospitali mama zetu wanajifungua chini, nchi haina mipango ya kuwasaidia watanzania bali ni kuhakikisha kuwa walio madarakani wanaendelea kubaki "KWA VYOVYOTE". Give me a break!
1

April 07, 2009
Votes: +0
madago: ...
mimi nahisi ni njia ya kukusanya pesa kwa ajili ya uchaguzi wa mwakani, kumbuka ya kuwa mianya mingi mheshimiwa ameeiziba kwa kutaka umaarufu kisiasa ambao ameupata kimsingi, mianya kupitia ufisadi, fedha ambazo wengi wanaamini zilitumika wakati wa uchaguzi 2005, je mwakani fedha zitoke wapi? nahisi hata hayo makampuni kama ya kina j=sinclair nayo ni kwa ajili ya kupata fedha, na takrima ikumbukwe imeondolewa, playing field itakua levele kwa yeye
2

July 10, 2009
Votes: +0

Write comment

busy
Last Updated ( Tuesday, 07 April 2009 )
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player