WIMBI la akina dada raia wa China wanaofanya biashara haramu ya kukodisha miili yao ‘machangudoa’ lililotulia kwa muda, sasa limeibuka upya na kwa kasi ya ajabu, Risasi Mchanganyiko lina makabrasha yote. Habari za kuaminika zilizotua mezani mwa gazeti hili kutoka katika chanzo chetu makini zinatonya uwepo wa biashara hiyo ufukweni mwa bahari ya Hindi na katika mahoteli makubwa ya jijini Dar es Salaam.
Hatimaye Mzee Hammie Rajab amezikwa mkoani Morogoro jioni hii, katika maziko yaliyofanyika katika makaburi ya Kola, mkoani humo. Hammie amecha simanzi kubwa kwa wasanii, ambao wengi wao wamekosa nafas...
It may be winter in Los Angeles but Rihanna is raising temperatures. The singer was spotted leaving the Beverly Hills hotel in a daringly short dress yesterday.The 22-year-old braved the chilly eveni...
No doubt, Halle Berry still has it.The image of her stepping out the sea in the Bond movie Die Another Day is one of cinema's iconic images.That was eight years ago. Since then, the 43-year-old ...
Mzee Pwagu wa kundi la Pwagu na Pwaguzi amezikwa leo JIjini Dar na mamia ya waombolezaji ambao bado wanakumbuka burudani ya pekee aliyoweza kuitoa katika maisha yake kwa mamilioni ya Watanzania kufuat...
Katika ziara yake ya kwanza Ulaya kama Rais wa Marekani, mambo mengi yamejitokeza na yanabakia kama kumbukumbu. Ya kufurahisha, ya kupendeza, ya kuchukiza na ya kukera yote yapo.
Ni Blandina Chagula maarufu kama Johari inasemekana ndio muigizaji wa kike anayeongoza kwa kulipwa mkwanja mnene katika tasnia hiyo ya filamu Kwa mujibu wa Gazeti la Bab kubwa linadai mdada huyo amba...