MwanaKijiji.COM

Friday
Jul 30th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Entertainment arrow INTERNATIONAL
INTERNATIONAL
CCM na Rushwa, hatimaye kuku wamerudi kutamia!
(0 votes)
Written by M. M. Mwanakijiji   
Thursday, 29 July 2010
CCM na Rushwa, hatimaye kuku wamerudi kutamia!
Tumepiga kelele kwa miaka minne na kelele zetu zimebatizwa kuwa ni "chuki binafsi". Tumewapigia mbiu waamke lakini panda zetu zimekuwa ni "kelele za mlango" ambazo hazimzuii mwenye nyumba kulala. Tumesema mfumo wa utawala wa kifisadi nchini ni matokeo ya utawala wa CCM, wakatuambia kuwa 'ufisadi ni wa mtu mmoja mmoja na siyo chama". Wengine wakathubutu kutuambia kabisa kuwa "mafisadi ndani ya CCM ni wanne na wamefikishwa mahakamani". Tumesema ufisadi ni matunda na mazao ya utawala wa CCM na watu wengine wanasema tumefanya hivyo kwa sababu tuna &qu...
 
PCCB to take more to court Monday
(0 votes)
Written by The Guardian   
Monday, 26 July 2010
PCCB to take more to court Monday
More big shots will be taken to court on Monday in connection with the online frauds that saw Tanzania Revenue Authority losing an estimated Sh115 billion ($77million), The Guardian on Sunday has r...
 
It is done- Bharti Airtel acquire Zain (T)
(0 votes)
Written by Vattal.com   
Friday, 23 July 2010
It is done- Bharti Airtel acquire Zain (T)
India’s Bharti Airtel, which acquired the African telecom assets of Kuwait’s Zain recently, has committed itself to bringing affordable phone services to Tanzania and becoming a pro-acti...
 
Halle Berry still got "it"
(0 votes)
Written by Daily Mail   
Tuesday, 20 July 2010
Halle Berry still got
No doubt, Halle Berry still has it.The image of her stepping out the sea in the Bond movie Die Another Day is one of cinema's iconic images.That was eight years ago. Since then, the 43-year-old ...
 
Dr. Slaa mgombea Urais wa Chadema 2010
(1 vote)
Written by M. M. Mwanakijiji   
Tuesday, 20 July 2010
Dr. Slaa mgombea Urais wa Chadema 2010
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA0) Dr. Wilbroad Slaa amependekezwa kuwa Mgombea wa chama hicho kwa Kiti ch a Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uamuzi wa kuingia kwenye...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 1 - 9 of 855