|
Tunaiga sana mahaba ya kizungu? |
|
Written by M. M. Mwanakijiji
|
|
Monday, 21 December 2009 |
Tukiangalia jinsi gani jamii yetu inavyobadilika tunaweza kuona kuona kuwa vijana wetu na hata walio wazee wanaamini kuwa namna ya kuoneshana mapenzi kunakofanywa na wazungu ndio bora zaidi na hivyo hata sisi Waafrika ni vizuri kujifunza na namna hiyo. Kuanzia mavazi, maneno, mapenzi na vikolombwezo vingi vya mapenzi leo hii tunaiga ni vile vya kizungu (kimagharibi). Hili linafungua mjadala wetu wa leo katika Gumzo la Mapenzi; je namna mahaba ya nchi za kimagharibi ni bora zaidi kuliko yale ya kiafrika? Karibuni.
|