MwanaKijiji.COM

Monday
May 21st
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow National
Habari za Kitaifa
Mzee Kawawa hatunaye 1926-2009
(0 votes)
Wednesday, 30 December 2009
Mzee Kawawa hatunaye  1926-2009
Waziri Mkuu wa zamani wa Tanganyika na mpigania huru wa Afrika na mmoja wanaharakati wa ukombozi kusini mwa Afrika na Muasisi wa Muungano mzee Rashid Mfaume Kawawa amefariki dunia. Habari za kifo chake zimetangazwa rasmi na Rais Kikwete leo akilihutubia Taifa ambapo pia ametangaza kuanza rasmi kwa siku saba za maombolezo ya Kitaifa. Mzee Kawawa alikuwa ni mmoja  wa    viongozi waliopendwa, kuheshimika na waliolitumikia taifa kwa muda mrefu. Mzee Kawawa alikuwa ni swahiba wa karibu zaidi wa baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere. ...
 
Nitaendelea na uzi ule ule - Askofu Kilaini
(0 votes)
Saturday, 26 December 2009
Nitaendelea na uzi ule ule -  Askofu Kilaini
Aliyekuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar-es-Salaam ambaye sasa amehamishiwa huko Bukoba Mha. Methodius Kilaini amewaaga waumini wa Kanisa Katoliki wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar-es-Salaam kwa kusema ku...
 
Mvua kubwa yanyesha TZ; mafuriko yahofiwa
(0 votes)
Friday, 25 December 2009
Mvua kubwa yanyesha TZ; mafuriko yahofiwa
Mvua kubwa imenyesha sehemu mbalimbali nchini siku ya Krismasi na kusababisha hofu ya mafuriko na hata maafa. Habari mbalimbali kuanzia Mwanza, Dar-es-Saalam, Songea na mikoa mingine zinahabarisha kuw...
 
Heri ya Noeli 2009
(0 votes)
Friday, 25 December 2009
Heri ya Noeli 2009
Kutoka KLHN na kutoka kwangu binafsi tunapenda kuwatakia wasomaji wetu, wanachama, mashabiki na wakosoaji wetu wote heri ya siku kuu ya Noeli na Mwaka mpya wa 2010 mwaka ambao tunaamini mabadiliko mak...
 
Kikwete atunukia vyeo maafisa wapya JWTZ
(0 votes)
Sunday, 20 December 2009
Kikwete atunukia vyeo maafisa wapya JWTZ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mhe. Jakaya Kikwete amewatunukia vyeo maafiwa wapya wa Jeshi la Wananchi katika tukio lililofanyika kwenye C...
 
Kikwete ataka maandamano ya kumuunga mkono yasitishwe
(1 vote)
Saturday, 19 December 2009
Kikwete ataka maandamano ya kumuunga mkono yasitishwe
Rais Jakaya Kikwete ametaka mipango yoyote ya kufanya maandamano ya kumuunga mkono kama ilivyopangwa na taasisi mbalimbali za kidini isitishwe. Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu vya taasisi hizo Rais Ki...
 
Kikwete anahitaji kusafishwa?
(0 votes)
Friday, 18 December 2009
Kikwete anahitaji kusafishwa?
MTANDAO mpya wa kumsafisha na kumjenga upya kisiasa Rais Jakaya Kikwete umeandaliwa, ukiwahusisha wanasiasa wa vyama mbalimbali, wanahabari na baadhi ya wanaharakati, Tanzania Daima imegundua. Katika ...
 
Elephant killed in Loliondo GR; suspect flee the country?
(0 votes)
Saturday, 12 December 2009
Elephant killed in Loliondo GR; suspect flee the country?
THE Manager in-charge at the Kleins Camp tourist facility has mysteriously vanished, amid allegations of illegal hunting activities. Kleins Camp which is located near Ololosokwan Village, in Loliondo ...
 
Baada ya kutajwa na jopo la wataalam, Mndolwa aondolewa!
(1 vote)
Friday, 11 December 2009
Baada ya kutajwa na jopo la wataalam, Mndolwa aondolewa!
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi Brig. Gen (mstaafu) Francis Mndolwa amestaafu baada ya kufikisha umri wa kustaafu kwa watumishi wa serikali. Nafasi yake inachukuliwa na Dr. James Nzagi amb...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 73 - 81 of 250
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player