MwanaKijiji.COM

Wednesday
Feb 08th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow National arrow Coastal Zone arrow Rais hakuliambia kweli Taifa?
Rais hakuliambia kweli Taifa?
(1 vote)
Written by KLHN   
Wednesday, 07 January 2009
Kikwete Wakati wa hotuba yake ya kuaga mwaka 2008 na kuukaribisha 2009, Rais Kikwete alisema hivi kuhusu hali ya chakula nchini: Quote: Ndugu Wananchi;
Hali ya upatikanaji wa chakula nchini ni nzuri kwa miaka miwili mfululizo sasa, yaani 2007 na 2008, na tumekuwa tunapata ziada ingawaje ni kidogo. Napenda kuwahakikishia kuwa hakuna tishio la njaa nchini. Hata yale maeneo ambayo yamekuwa yanapata upungufu wa chakula tumeweza kuyahudumia kwa kutumia ziada hiyo na akiba kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Chakula (SGR).
Habari hizi mbili zinazofuata zinatufanya tuhoji ukweli wa kauli hiyo ya Rais, kama kwa makusudi au kwa kupotosha hakuliambia ukweli Taifa. 

Katika taarifa ya gazeti la Guardian la leo kuna habari hii:

Quote:
Ten villages in Tunduru facing shortage of food

2009-01-02 12:09:32
By Augustino Chindiye, Tunduru


Hundreds of residents from at least ten villages in Misechela and Mtima wards in Tunduru District, Ruvuma Region are facing starvation due to acute shortage of food supplies.

According to the area councillor, Mohamedi Njalanjala many families have resorted to consumption of unripe mangoes as a way of sustaining their lives.

Speaking during an exclusive interview with this paper yesterday, Njalanjala requested for immediate action by higher authorities to avert the situation and save many lives.

He named the villages as Chiungo, Mkotamo, Meamtwaro, Liwanga and Misechela, whereby families are reportedly unable to afford even a single meal a day. Others are Mtina, Nakapanya, Mbesa, Nalasi and Mchoteka.

``It is heartbreaking to see all family members running to mango trees early in the morning for the day`s collection. Human beings deserve more than that.

It is time proper and corrective measures were taken to help these people lead descent lives,`` he said.

However, the councillor also proposed a change in attitude among the residents to avoid repetition of such uncertainty in life.

He wanted the villagers to cultivate the culture of saving food instead of consuming it all during local traditional festivals.

``People`s income has been reduced to the lowest. Prices of grain have become unaffordable such that a kilogramme of maize flour is sold at 1000/- and dried cassava roots currently fetching 350/- a kilogramme, of which people cannot afford,`` councillor Njalanjala explained.

He said he was worried that the situation would deteriorate further in case the mango season came to an end, adding that he feared that the entire village would be reduced to cheap labour at farms and estates of the well-to-do people.

 

 Na hii leo katika Habari Leo

 Eline Shaidi, Morogoro
Daily News; Tuesday,January 06, 2009 @20:00

  Vijiji vinane vilivyopo katika kata mbili za Mkambarani na Kidugalo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, vinakabiliwa na upungufu wa chakula. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Said Mwambungu imeeleza kuwa vijiji hivyo vipo katika ukanda wa ukame ambapo mtawanyo na kiwango cha mvua ni kidogo chini ya wastani wa milimita 600 za mvua kwa mwaka.

Alivitaja vijiji hivyo kuwa ni Mkono wa Mara kilichopo kwenye Kata ya Mkambarani, na vijiji vya Visaraka, Magela, Kidugalo, Kisemo, Lubumu, Seregete A na Seregete B vilivyopo kwenye Kata ya Kidugalo.

Aidha, Mwambungu alisema wananchi wanaoishi kwenye vijiji hivyo wamehamasishwa kutotumia chakula kidogo walichovuna katika sherehe, pamoja na ngoma kama ilivyo desturi yao, na hivyo kutumia chakula hicho vizuri.

Pia halmashauri hiyo imewahamasisha wafanyabiashara wilayani humo kununua chakula kutoka kwenye Hifadhi ya Chakula ya Taifa na kukiuza kwa wananchi kwa bei nafuu ili waondokane na tatizo hilo la njaa katika kipindi hiki.

Taarifa hiyo ilieleza kuwa katika maeneo mengine ya wilaya hiyo, hali ya chakula ni nzuri isipokuwa katika maeneo hayo machache, na kuwataka wananchi kutumia vizuri chakula walichovuna katika kipindi cha mwaka jana.

Ilifafanua zaidi umbile la ardhi katika halmashauri hiyo, ambalo limegawanyika katika kanda kuu mbili muhimu ambazo ni ukanda wa milimani ambapo huhusisha tarafa za Mkuyuni na Matombo, na kueleza kuwa wananchi wa kanda hizo hujishughulisha na uzalishaji wa mazao ya mihogo, migomba na matunda.

Kwa upande wa ukanda wa mabondeni ambao huhusisha tarafa za Mvuha, Bwakira, Mikese na Ngerengere wananchi hujishughulisha na kilimo cha mahindi, mpunga, mtama, muhogo, migomba na magimbi.

Hili linatukumbusha suala la sinema ya Mapanki ya "Darwin's Nightmare". Kuna watu hawampi Rais taarifa sahihi au yeye mwenyewe hahoji vya kutosha kupata taarifa sahihi? Kama waandishi ndani ya wiki moja wameweza kupata vijiji karibu 20 vyenye matatizo ya chakula; kweli kauli ya Rais bado inaweza kusimama?
Comments (4)add comment
Cheblack Mpingo: ...
Kauli ya Rais itasimama kwani yeye mtazamo wake ulikuwa wa kitaifa zaidi na matatizo madogo kama hayo mliyoandika na kutaka kuyajengea hoja yako ndani ya uwezo wa serikali yake. Hivyo kulikuwa hamna sababu yeyote yamsingi ya kuwatia wanachi hofu kwa ujumla wao, nahakuna mwenye uhakika kuwa wakati anatayarisha hotuba yake taarifa iliyotumika ni mpakalini tulicho na uhakika nacho ni kuwa magazeti yameandika baada ya hii hotuba na wenye njaa wametumia walichovuna vibaya. Mimi nadhani tujitahidi sana kuwa fair. Tunataka masuala ndiyo tuyaongelee sio kulaumu hata pale pasipo stahili. Kauli ya Rais itasimama, hajaliongopea taifa na hatunatishio la njaa kama Taifa huo ndio ukweli.
1

January 07, 2009
Votes: +0
pangu: ...
Yaani kama wewe ni msemaji wenye hesabu bado tunaasema ulichofanya ni (-1+1=0); maana pima uzito wa neno hili "hakuna tishio la njaa nchini. Hata yale maeneo ambayo yamekuwa yanapata upungufu wa chakula tumeweza kuyahudumia kwa kutumia ziada hiyo na akiba kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Chakula (SGR)"

Then soma ''Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Said Mwambungu imeeleza kuwa vijiji hivyo vipo katika ukanda wa ukame ambapo mtawanyo na kiwango cha mvua ni kidogo chini ya wastani wa milimita 600 za mvua kwa mwaka"

Then angalia kanusho lako ukiangalia na ukweli wa mwandishi wa habari; naoan wafunge watu kusema ukweli ndio utawaweza; otherwise mwandihis yuko sawa na wewe ulmefanya (-1+1=0)-Asante


2

January 07, 2009
Votes: -1
Cheblack Mpingo: ...
Je serikali inauwezo wa kuwahudumia hao au la? Hilo ndio swali la kujiuliza kama inauwezo basi hamna tishio la njaa huo ndio ukweli mchungu kama tuonavyo.
3

January 07, 2009
Votes: +0
rangya: ...
idadi ya vijiji vilivyopimwa Tanzania hadi sasa ni 179. wewe unatoa takwimu za jumla ya vijiji 18. hotuba ya Mheshimiwa Rais inaongelea mafanikio kwa asilimia 90, which is more than success statistically. hutegemei nchi kubwa kama Tanzania katika Bara Africa kupiga hatua ya mafanikio kwa 90% kuwa si lolote... the fact is you guys never appreciate anything from your Government na huo ni umasikini wa fikra.
4

January 08, 2009
Votes: +1

Write comment

busy
Last Updated ( Wednesday, 07 January 2009 )
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player