|
Monday, 10 August 2009 |
|
Maalbino wamewataka Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha na Mbunge wa Ukerewe, Getrude Mongella, kumrejea Mungu kutokana na kudaiwa kuwalaghai. Shutuma hizo zilitolewa na wanachama wa Chama cha Albino Mkoa wa Mwanza (TAS), walipotembelewa na waandishi wa habari. Mwenyekiti wa Tas, Alfredy Kapole, alisema Masha amekuwa akitoa matamko ya kulinda albino wakati hata idadi yao walioko Mwanza haijui. |
|
|
Wednesday, 14 January 2009 |
|
Watu watatu wamefariki dunia wilayani hapa baada ya kushambuliwa na kundi la wananchi wakituhumiwa kuiba ng’ombe na kisha kuwachinja. Tukio hilo lilitokea jana katika kijiji cha Nyakaduha, Kata ... |
|
|
Wednesday, 14 January 2009 |
|
Polisi mkoani Shinyanga inawashikilia walinzi wawili wa Kampuni ya kuchimba Almasi ya El-Hilal kwa tuhuma za kushirikiana na majambazi kuvamia mgodi kwa kutumia silaha. Taarifa iliyotolewa na Kamanda... |
|
|
Sunday, 14 December 2008 |
Barrick Gold said on Friday it had suspended operations at its North Mara mine in Tanzania after about 200 people charged the mine and clashed with security personnel, causing about $15 million in da... |
|
|
Monday, 03 November 2008 |
|
Mwanza-JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limetangaza vita dhidi ya Watanzania na raia wanaotoka nchi jirani na kujihusisha na vitendo vya ujambazi, wilayani Geita, mkoani hapa na kwamba ... |
|
|
Monday, 27 October 2008 |
Vikosi vya zimamoto na wananchi wa mji wa Mwanza wakiongozwa na Mkuu wa Polisi wa Mkoa huyo Bw. Rwambow wamefanikiwa kuzima moto mkubwa uliotokea kwenye kituo cha mafuta kilichoko barabara ya Nyerere ... |
|
|
Saturday, 19 January 2008 |
|
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi, wanadaiwa kumuua kwa kumpiga nondo kichwani na risasi katika mguu wake wa kushoto, Padri Angelo Nkuba wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Sayusayu wilayani hapa Mkoa wa Sh... |
|
|