MwanaKijiji.COM

Monday
May 21st
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow National arrow Taifa
Taifa
Profesa Shivji awajia juu wawekezaji uchwara
(1 vote)
Friday, 04 December 2009
Profesa Shivji awajia juu wawekezaji uchwara
Aliyekuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Issa Shivji, amewatuhumu baadhi ya wawekezaji wa sasa nchini kuwa ni wabakaji na wanyanganyi wa rasilimali za Tanzania. Profesa Shivji alikuwa akichangia mada wakati wa kongamano la siku tatu lililohitimishwa jana lililokuwa likijadili mustakabali wa Tanzania, katika kumbukumbu ya miaka kumi ya tangu kifo cha Mwalimu Julius Nyerere. Akasema wawekezaji wa sasa, hasa katika taasisi nyingi za kifedha zimekuwa kama mchezo wa pata potea.
 
"We are not involved in illegal arms trading"- Membe
(0 votes)
Monday, 30 November 2009
Tanzania has demanded an apology from the United Nations over allegations that she was among 25 countries illegally supplying arms to a Hutu rebel group in the Democratic Republic of Congo (DRC). An e...
 
Mkataba wa Soko la Pamoja EA wasainiwa
(1 vote)
Saturday, 21 November 2009
Mkataba wa Soko la Pamoja EA wasainiwa
  MARAIS watano wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) jana walisaini itifaki ya mkataba ya soko la pamoja kwa nchi hizo ambao unahusu masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na ajira, biasha...
 
Kikwete na utukuzaji wa wawekezaji
(0 votes)
Monday, 16 November 2009
Kikwete na utukuzaji wa wawekezaji
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametaka watumishi wa umma nchini kubadilisha mawazo na kuwa wawezeshaji badala ya kuwa kikwazo cha uwekezaji nchini.  Aidha, ametaka hatua za haraka kuimarisha Kampuni ...
 
Rostam unatutania?
(0 votes)
Wednesday, 11 November 2009
Rostam unatutania?
Mbunge wa Igunga na Mjumbe wa Kamati Kuu (KK)  na pia wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ya Chama cha Mapinduzi Mhe. Rostam Aziz amedai kuwa ni uchunguzi huru utakaofanywa na majaji (jopo) kuhusu ...
 
Afya ya Rais Kikwete na siasa zetu
(0 votes)
Sunday, 11 October 2009
Afya ya Rais Kikwete na siasa zetu
Kwa mara kadhaa hadhara ya Watanzania imepata nafasi ya kuona Rais Kikwete akiterereka kiafya hadharani na kutishia jamii juu ya hali yake ya afya. Tukio la hivi karibuni ni katika maadhimisho ya Kani...
 
Is this true about RITES contract?
(2 votes)
Monday, 05 October 2009
Is this true about RITES contract?
‘The amount of money the Indian firm is charging to lease used locomotives and wagons over five years could buy ten brand new locomotives and 48 new passenger coaches’ It swept in...
 
ABC's 20/20 airs report on the killings of Albinos in TZ
(0 votes)
Saturday, 03 October 2009
ABC's 20/20 airs report on the killings of Albinos in TZ
One of the major TV network in US ABC has aired a special program on the killings of Albino in Tanzania in its Friday's 20/20 Program. The report which can also be seen online through 20/20 websit...
 
Moto bwenini Iringa waua wanafunzi
(0 votes)
Monday, 24 August 2009
Moto bwenini Iringa waua wanafunzi
Usiku wa kuamkia Jumapili moto mkali ulizuka katika mojawapo ya mabweni ya shule ya Sekondari ya Idido mkoani Iringa na kuua wanafunzi wapatao 12 na kujeruhi wengine kadhaa. Moto huo ambao umekumbushi...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 82 - 90 of 231
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player