MwanaKijiji.COM

Wednesday
Feb 08th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow National arrow Taifa arrow Prof. Jwani Mwaikusa, 2 wauawa!
Prof. Jwani Mwaikusa, 2 wauawa!
(0 votes)
Written by M. M. Mwanakijiji   
Wednesday, 14 July 2010
ImageHabari ambazo zimeingia sasa hivi ni kuwa Prof. Jwani Mwaikusa ameuawa. Pamoja naye taarifa zinadokeza kuwa mwanae pia ameuawa. Tunaendelea kufuatilia taarifa hizo kwa karibu ili kuweza kupata taarifa za uhakika zaidi. Wengi tunamfahamu hivi karibuni katika kesi ya wagombea binafsi akiwa mmoja wa walioitwa kuwa "marafiki wa mahakama" yeye akitetea haki ya wagombea binafsi na kusisitiza kuwa mahakama ina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo.


Taarifa zinadokeza kuwa mauaji hayo yametokea nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo.

Taarifa bado zina kiza kuna uwezekano wa zaidi ya watu wawili kuwa wameuawa kwenye tukio hilo..
Comments (0)add comment

Write comment

busy
Last Updated ( Wednesday, 14 July 2010 )
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player