29 watolea macho kiti cha Rostam Makada 13 wavaana CCM, 15 CHADEMA CUF yateua aliyegombea mwaka jana KINYANG'ANYIRO cha ubunge katika Jimbo la Igunga kimezidi kupamba moto na hadi jana walikuwa wameomba kuwania nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Bw. Rostam Aziz walikuwa 29. Wakati hali ikiwa hivyo, chama cha NCCR-Mageuzi kimetangaza kutokuweka mgombea Igunga badala yake kuunga mkono wenzao kutoka upinzani lakini kwa sharti kama wataunganisha nguvu. CUF yateua mgombea Chama cha CUF kimemtangaza Bw. Leopard Mahona kuwa mgombea wake katika jimbo hilo na kuwa kampeni zao zitajulikan...
DAR ES SALAAM (Reuters) – Hundreds of albinos are thought to have been killed for black magic purposes in Tanzania and albino girls are being raped because of a belief they offer a cure for A...
President Kikwete met today with leaders of a number of labour unions at the State House. In a statement issued by the Directorate of State House Communications President Kikwete assured the labor uni...
Dear Minister Ancilla Ntakaburimvo, We urge you to intervene in the case of Jean-Claude Kavumbagu, editor of the news website NetPresswho has been improperly imprisoned since July 17, 2010, on a charg...
Rais Kikwete ameikana rasmi kampuni ya Dowans (japo hakusema ni Dowans ipi) akitamka kwa mara ya kwanza hadharani kuwa hana maslahi ya aina yoyote katika kampuni hiyo. Rais Kikwete ameyasema hayo akiw...
Powerful businessman and ruling party MP for Igunga in Tabora, Rostam Aziz, is to be a beneficiary in the Dowans Tanzania award.According to the proceedings from the International Court of Arbitrati...
KATIKA kuonesha uungwana na ukomavu wa kisiasa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya CCM na Serikali yake, amewaomba radhi viongozi wa dini nchini kutokana na kauli kinzani zilizotolewa na baadhi ...
MAMBO si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana taarifa kwamba kiko taabani kifedha, kiasi cha kulazimika kusitisha kutoa ruzuku kwa baadhi ya watendaji wake kwenye ngazi za mkoa, wilaya...