MwanaKijiji.COM

Tuesday
Mar 09th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Siasa
Mahojiano yetu na Waziri Phillip Marmo
(0 votes)
Wednesday, 03 March 2010
Mahojiano yetu na Waziri Phillip Marmo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Phillip Marmo (pichani) amesema kuwa serikali haitokaidi uamuzi wa Mahakama kuhusu suala la wagombea binafsi endapo Mahakama ya Rufani itasisitiza kuwa waruhusiwe kwenye uchaguzi mkuu ujao kama ilivyoamuriwa na Mahakama Kuu mwaka 2005. Hata hivyo, Bw. Marmo amesema kuwa kutokana na mchakato wa maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mbali endapo msimamo wa mahakama utakuwa ni ule ule basi itabidi uchaguzi mkuu uahirishwe ili kuruhusu utaratibu wa kubadili Katiba na kuwezesha wagombe huru na binafsi kushiriki kinyang’anyiro cha uchaguzi ...
 
Hatimaye CCJ yapata usajili wa muda
(0 votes)
Tuesday, 02 March 2010
Hatimaye CCJ yapata usajili wa muda
Kile chama ambacho kilitajwa na Msajiri wa Vyama vya Siasa Bw. John Tendwa kuwa ni "Hoax" hatimaye kimepata usajili wa muda kutoka kwa msajili huyo huyo. Mapema leo katika ofisi za msajili h...
 
Chama kinachohofiwa chapata usajili wa muda
(1 vote)
Thursday, 25 February 2010
Chama kinachohofiwa chapata usajili wa muda
HATIMAYE Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imeridhia kukipa usajili wa muda Chama Cha Jamii (CCJ), baada ya kukikwepa kwa zaidi ya miezi miwili. Habari za uhakika zilizoifikia Tanzania Dai...
 
Uraia wa nchi mbili: Tusipoangalia tumeliwa!
(0 votes)
Wednesday, 24 February 2010
Uraia wa nchi mbili: Tusipoangalia tumeliwa!
Binafsi sina tatizo kabisa na kuruhusu Watanzania kuweza kuwa na uraia wa zaidi ya nchi moja (sielewi kwanini lazima uwe wa nchi mbili tu!) lakini kama unavyosema lazima tuweke wazi exceptions kwa sab...
 
Mauaji mengine ya kisasi Musoma
(3 votes)
Tuesday, 23 February 2010
Mauaji mengine ya kisasi Musoma
Habari ambazo zimetiririka muda si mrefu uliopita zinadokeza kutokea kwa kile kinachoaminiwa mauaji mengine huko Musoma ambayo yanahusishwa na kisasi cha wale 17 waliouawa siku chache zilizopita. Taar...
 
Incompetence of PCCB
(0 votes)
Monday, 15 February 2010
Incompetence of PCCB
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has written official letter to the UK’s Serious Fraud Office (SFO) demanding details on how the $40million dubious radar deal case was se...
 
Wataongoza taifa kwa kura za maoni?
(0 votes)
Wednesday, 03 February 2010
Wataongoza taifa kwa kura za maoni?
HATIMAYE Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejaribu kuonyesha kuwa kinajali nadharia na tunu ya demokrasia isemayo ‘wengi wape’. Japo kihistoria tunajua kuwa si mara zote wengi wamepewa licha y...
 
Meya Kimbisa kupokea misaada ya wahanga wa mafuriko
(0 votes)
Friday, 15 January 2010
Meya Kimbisa kupokea misaada ya wahanga wa mafuriko
Misaada yetu ya kwanza tuliyokusanya siku hizi mbili itakabidhiwa kesho leo Ijumaa Kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu cha Tanzania ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar-es-Salaam Mstahiki Alhaj...
 
Mwanakijiji kuzungumza na PowerBreakfast Alhamisi
(0 votes)
Tuesday, 12 January 2010
Mwanakijiji kuzungumza na PowerBreakfast Alhamisi
 
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 1 - 9 of 157
Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player