MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), Bw. Salum Londa amesema viongozi na wanachama wa CCM wanaokitabiria mabaya chama hicho wanatia shaka. Kauli ya Bw. Londa imekuja siku chake baada ya Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Bw. John Malecela kutabiri kuwepo anguko kubwa la wabunge wa CCM katika uchaguzi mkuu ujao mwakani kama chama hakitajipanga.
Wameutwaa urithi wetu wakagawana; Urithi huo waliogawana wamemegeana vipande vipande na kurithishana wao na watoto wao! Urithi wa taifa letu umekuwa wa kwao peke yao na sisi wengine tumeachiwa tugomba...
Habari ambazo zinaingia taratibu na kuthibitisha kile ambacho kimetarajiwa kwa muda mfanyabiashara maarufu toka Igunga na Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Rostam Aziz inadaiwa yuko mbioni kuingia katika...
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba jana aliieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa alitoa kibali cha usamehewa kodi kwa kampuni ya kutathmini uzalishaji wa madini ya Alex Stewart baada ...
KATIBU Mkuu wa CCM, Yussuf Makamba, amewaagiza makatibu wa CCM na jumuia zake ngazi za mikoa, kuandaa maandamano ya kumpongeza Rais Jakaya Kikwete na serikali, kwa kufanikiwa kutekeleza Ilani ya Uchag...
Rais Kikwete ameamua kuwahamisha wakuu wa mikoa mbalimbali na kuwazungusha akiwabadilisha vituo vyao vya kazi. Rais ambaye ameanza ziara ya kikazi huko Saudi Arabia (kama tulivyoripoti jana) amefanya ...
Kuna kundi la wanasiasa ndani ya Chama cha Mapinduzi ambalo linatakiwa limeguke kutoka chama hicho mapema iwezekanavyo. Kundi hilo ni la wale watu ambao wamefilisika kisiasa ambao wamebakia kuwa wat...
Katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi (iliyoko kwenye ukurasa huu) Rais Kikwete ameelezea kwa kirefu jinsi gani Tanzania na nchi nyingine za kiafrika zinavyosubiri hisani ya nchi tajiri kuweza kuzisai...
MIAKA miwili iliyopita, niliandika makala ile ya ‘Kuanguka kwa CCM unabii utatimia”. Katika makala hiyo nilisema ifuatavyo wakati nafungua tu hoja yangu. “Nilikuwa natafakari maneno ...