MwanaKijiji.COM

Monday
May 21st
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Siasa arrow Siasa
Siasa
Wakataa kumfanyia dua mbunge wao
(0 votes)
Friday, 21 March 2008
BAADHI ya waumini wa msikiti wa Ijumaa, mjini Mahenge, mkoani Morogoro, wamemgomea aliyekuwa Waziri wa Uchumi, Mipango na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa kumfanyia ibada maalum ya dua kutokana na tuhuma za kushindwa kutekeleza ahadi katika jimbo lake. Chanzo cha habari kutoka katika mji huo kinasema, Dk. Ngasongwa ambaye pia ni Mbunge wa Ulanga Magharibi, alipata kadhia hiyo Ijumaa iliyopita alipomuomba Imamu wa msikiti huo, Sheikh Amani Rigaya, awaambie waumini kuwa anataka kufanyiwa dua maalumu. Chanzo hicho cha habari kilisema kuwa, uamuzi huo wa Dk. Ngasongwa kutaka afanyiwe dua hiyo ni ku...
 
Timu ya WM Pinda yamaliza kazi
(0 votes)
Wednesday, 19 March 2008
Timu iliyoteuliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kupitia kwa kina mapendekezo yaliyotolewa na Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza mkataba wa Richmond, imemaliza kazi yake na kukabidhi ripoti. Pinda a...
 
Lowassa asalimu amri: "Nimefunga mjadala"
(0 votes)
Friday, 29 February 2008
Aliyekuwa Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa, amesema ameamua kufunga mjadala kuhusu kuhusishwa kwake katika kashfa ya zabuni tata ya umeme ya kampuni ya Richmond Development LLC. Akizungumza na Nipashe ...
 
A TWISTED TALE of two Richmond Companies: One in the US, another right here in Tanzania
(0 votes)
Wednesday, 27 February 2008
THE US-based Richmond Development Company LLC (RDEVCO), which has turned out to be a legally non-existent entity, was awarded the 172.9bn/- power generation contract under dubious circumstances severa...
 
Richmond kuondoka na wengi zaidi?
(0 votes)
Friday, 22 February 2008
SAKATA la kampuni hewa ya kuzalisha umeme Richmond litawagusa vigogo wengine serikalini endapo watu waliowajibishwa watatakiwa kujitetea na kutoa ushahidi zaidi pia kuna uwezekano wa idadi ya Baraza l...
 
Wapinzani wapigwa na Polisi Kiteto
(0 votes)
Sunday, 17 February 2008
Viongozi kadhaa wa chama cha Chadema wamejikuta wakipata kipigo wakiwa mikononi mwa Polisi jioni ya leo. KLH Imepata nafasi ya kuzungumza na mgombea wa Chadema kwenye uchaguzi huo mdogo Bw. Victor Kim...
 
Masilingi ampinga Mkuu wa Mkoa hadharani
(0 votes)
Thursday, 27 December 2007
Mbunge wa Muleba Kusini Bw. Wilson Masilingi (CCM) mwishoni mwa juma amepingana hadharani na mkuu wa mkoa wa Kagera Bw. Mfura. Wakizungumza katika kikao cha mkoa kilichojadili uchomaji wa misitu kat...
 
Miaka 46 ya UHURU wa Tanganyika
(0 votes)
Wednesday, 26 December 2007
SITAKI awepo wa kusema kwamba kwa umri wa miaka 46 ya uhuru wa kisiasa wa Tanganyika, “hakuna kilichofanyika.” Sitaki! Atakuwa anakataa kuona mengi ambayo watawala wamesimamia au wamepuuz...
 
Vyama vingine vya Upinzani vyashirikiana
(0 votes)
Friday, 21 December 2007
Vyama vitano vya upinzani nchini vimeamua  kuanzisha ushirikiano wa kisiasa Vyama vitano vya upinzani nchini vimeamua  kuanzisha ushirikiano wa kisiasa baada ya kuona kile ambacho wamekiit...
 
<< Start < Prev 21 22 Next > End >>

Results 190 - 198 of 198
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player