MwanaKijiji.COM

Monday
May 21st
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Siasa arrow Siasa arrow Kikwete aikana Dowans; aacha maswali zaidi
Kikwete aikana Dowans; aacha maswali zaidi
(5 votes)
Written by M. M. Mwanakijiji   
Sunday, 06 February 2011
ImageRais Kikwete ameikana rasmi kampuni ya Dowans (japo hakusema ni Dowans ipi) akitamka kwa mara ya kwanza hadharani kuwa hana maslahi ya aina yoyote katika kampuni hiyo. Rais Kikwete ameyasema hayo akiwahutubia mamia ya wanachama na mashabiki wa CCM kwenye maadhimisho ya miaka 34 ya Chama cha Mapinduzi yaliyofanyika mjini Dodoma siku ya Jumamosi. Akigusia suala la malipo ya bilioni 94 ambayo Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi iliiamua kampuni ya Dowans ilipwe na Tanesco Rais Kikwete amesema kuwa serikali yake itafanya kila njia za kisheria ili kampuni hiyo isilipwe.
Comments (3)add comment
Kama: ...
JK yeye analeta masihara kwa kila jambo na kuleta porojo......sasa yeye kama Rais hafahamu nani atafahamu hili.
1

February 07, 2011
Votes: +0
jonson: ...
watawala wote afrika wasipoangaliwa kwa karibu na watawaliwa wao ( raia) wanamuelekeo mmoja wa kuelekea ufisadi,kujinufaisha,kufuja fedha na matumizi mabaya ya madaraka.
2

March 18, 2011
Votes: +1
mesika mongitta: ...
Kama ameikana anawajua wamiliki awataje...
3

April 16, 2011
Votes: +0

Write comment

busy
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player