|
Tusaidie vipi waliokumbwa na mafuriko? |
|
Written by M. M. Mwanakijiji
|
|
Friday, 08 January 2010 |
Salaam, niko katika mazungumzo na baadhi ya watu na taasisi ili tuweze kuona jinsi gani tunaweza kuwasaidia ndugu zetu walioathirika na mafuriko. Janga hili ni kubwa na juhudi za serikalipeke yake haziwezi kutosha. Kwa sisi tulio mbali tunaweza kutegemea zaidi watu walioko nyumbani kuweza kufanikisha shughuli hii. Natarajia hadi mwisho wa juma hili tutakuwa tumepata njia bora ya kuweza kuwasaidia ndugu zetu. Kama kuna mtu ana mapendekezo ya jinsi ya kufanya hivyo tafadhali niandikie kwa email ya
This e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it
Shukrani.
|