TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kunyakua kombe la Tusker baada ya kuifunga Sofapaka ya Kenya kwa mabao 2-1 katika fainali zilizofanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Licha ya kombe hilo, timu hiyo pia imezawadiwa kitita cha shilingi milioni 40 kwa ushindi huo.
University of Connecticut's Hasheem Thabeet, a 7-foot-3 center from Tanzania, has decided to enter the National Basketball Association draft, the university said Tuesday. ...
Kibarua cha kocha wa timu ya Taifa ya Ivory Coast kinaelekea kuota nyasi baada ya timu kamambe ya Taifa Stars ya Tanzania kuibanjua timu yake bao moja bila katika michuano ya kwanza ya timu za Taifa z...
KILIMANJARO Stars will be out in search for a third place in the Cecafa Senior Challenge Cup tie against Burundi, at the Mandela National Stadium (Namboole) today. The third place play off will start ...
His basketball prowess has yet to earn him a penny. Still, by the time Hasheem Thabeet’s plane touched down in his native Tanzania two summers ago, the crowd had become so large that police cl...
Wachezaji sita wataachwa katika msafara wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars wa kwenda Sudan kwa mechi ya marudiano ya mechi ya mtoano ya kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zina...
Mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imemalizika muda mfupi uliopita katika Uwanja Mpya wa Taifa jijini Dar ambapo timu ya Yanga imeichapa Simba bao moja mtungi. Katika mechi hiyo il...
SIJUI walikuwa wapi…wanakumbuka shuka kumekucha…Stars imekipiga sana leo… ni kauli za mashabiki baada ya mchezo kati ya Taifa Stars na Cape Verde ambao ulimalizika kwa wenyeji kui...
MASHABIKI wa timu ya soka ya Yanga jijini Dar es Salaam wamesifu kiwango kinachoonyeshwa na timu yao katika Ligi Kuu Tanzania Bara huku wakitamba kuendelea kushikilia taji la ligi hiyo msimu huu tena....