|
Monday, 17 December 2007 |
|
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), jana lilitoa viwango vipya vya ubora wa soka huku Tanzania ikichupa kutoka nafasi ya 103 hadi 89. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na FIFA jana, miongoni mwa vigezo, ni ufanisi wa nchi husika katika michuanno ya kimataifa, ikiwamo kampeni za fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.
|