| Yanga yachukua Ubingwa wa Tusker |
| Written by Global Publishers | ||||||
| Tuesday, 29 December 2009 | ||||||
Page 1 of 4 TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kunyakua kombe la Tusker baada ya kuifunga Sofapaka ya Kenya kwa mabao 2-1 katika fainali zilizofanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Licha ya kombe hilo, timu hiyo pia imezawadiwa kitita cha shilingi milioni 40 kwa ushindi huo.
|
||||||
| Last Updated ( Tuesday, 29 December 2009 ) | ||||||