| Yanga yachukua Ubingwa wa Tusker |
| Written by Global Publishers | ||||||
| Tuesday, 29 December 2009 | ||||||
Page 2 of 4 Kikosi cha Sofapaka kilichopambana na Yanga jana. Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda, akiwa na mfano wa hundi ya Sh. Milioni 10 waliyokabidhiwa baada ya timu yake kutwaa nafasi ya tatu. Beki wa Sofapaka, Edgar Ochieng (katikati), akijaribu kuwadhibiti washambuliaji wa Yanga, Boniface Ambani (kushoto) na Khalfan Ngasa wakati wakipeleka shambulizi golini kwake. Mshambuliaji wa Yanga, Boniface Ambani, akiifungia timu yake bao la pili lililoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa.
|
||||||
| Last Updated ( Tuesday, 29 December 2009 ) | ||||||
|
|