| Yanga yachukua Ubingwa wa Tusker |
| Written by Global Publishers | ||||||
| Tuesday, 29 December 2009 | ||||||
Page 4 of 4 Nurdin Bakari wa Yanga (kushoto) akijaribu kumhadaa beki wa Sofapaka, Wanyama Thomas.Maafande wa kikosi cha kutuliza ghasia ‘FFU’ wakinunua jezi za Yanga uwanjani hapo. Kiungo wa Yanga, Athumani Idd ‘Chuji’ (kulia), akijiandaa kuachia shuti mbele ya kipa wa Sofapaka, Wilson Obungu. Obungu akinyaka shuti miguuni mwa Chuji, kitendo kilichosababisha aumie. Obungu akiugulia maumivu baada ya kugongana na Chuji. Refa wa mpambano huo, Dennis Batte, anayeingiza mkono mfukoni, pamoja na wasaidizi wake, wakitolewa nje ya uwanja na askari wa kutuliza ghasia FFU baada ya kutishiwa amani na kipa wa Sofapaka, Wilson Obungu. Kipa wa Sofapaka (mwenye jezi nyekundu anayelia) akishikwa ili asiendelee kufanya vurugu. PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS - 0713562001 /GPL
Set as favorite
Bookmark
Email This
Comments (0)
![]() Write comment
|
||||||
| Last Updated ( Tuesday, 29 December 2009 ) | ||||||
|
|