MwanaKijiji.COM

Monday
May 21st
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Sports arrow Michezo arrow Yanga yainyuka Simba 1 - 0
Yanga yainyuka Simba 1 - 0
(3 votes)
Written by Mwanakijiji   
Sunday, 26 October 2008
Mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imemalizika muda mfupi uliopita katika Uwanja Mpya wa Taifa jijini Dar ambapo timu ya Yanga imeichapa Simba bao moja mtungi. Katika mechi hiyo iliyokuwa imejaa kila aina ya vituko kama kawaida yake ni wana "Kandambili" ambao wameibuka kidedea na bila ya shaka kuongezea tafrani ya watani wao wa jadi mtaa wa Mzimbazi (Taifa Kubwa). Stay tuned...
Comments (0)add comment

Write comment

busy
Last Updated ( Sunday, 02 November 2008 )
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player