MwanaKijiji.COM

Wednesday
Feb 08th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home arrow Safari arrow 7 countries set for visa-free travel to U.S.
7 countries set for visa-free travel to U.S.
(0 votes)
Written by AP   
Tuesday, 28 October 2008
Kijijini Business TravelBUDAPEST, Hungary - U.S. Homeland Security Secretary Michael Chertoff says seven countries are ready to begin visa-free travel to the U.S. on Nov. 17.

Chertoff, on an official visit Tuesday in Budapest, says the long-awaited decision is akin to "sweeping away the last dust of the Iron Curtain."

U.S. President George W. Bush announced on Oct. 17 that Hungary, Latvia, Lithuania, Estonia, the Czech Republic, Slovakia and South Korea would be added to the U.S. visa waiver program.

All seven countries have had to meet several requirements to join the visa-waiver program such as issuing hard-to-forge passports and upgrading anti-terrorist laws.

Participants using the program will have to register online before traveling.

Comments (8)add comment
Desert Eagle: ...
angekosea akaiweka na Tanzania kwenye hiyo list watu wote tungehamia huko
1

November 07, 2008
Votes: +0
kwikwi: ...
Wewe unasema Tanzania?, wangeiweka Poland ndiyo wangekoma maana wabongo wengi hatuna nauli
wapoland wamesambaa ulaya yote baada ya kujinga na EU na hasa UK, hawachagui kazi wala mshahara
wao mradi walipwe tu.
2

November 14, 2008
Votes: +0
magoma: ...
nauli watu wanazo, labda we ndo hauna, we huoni hao mafisadi wanavyo jidhamini pale KISUTU!!
3

November 25, 2008
Votes: +1
Musika Dsm: ...
we sikia tu marekani, bora Tanzania kuna mjomba utaomba hata maji ya kunywa, marekani bwana hata nduguyo hakuazimi dolla tano?ubaya ubaya? usione watu wakaenda huko, hawarudi makwao sio kutaka shida na kutoamini vile walivyokuwa wanafikiria, yaani unaona ni bora ubaki marekani kuliko kurudi nyumbani wakafikiri ulikuwa jela na wala si marekani, ebwan bora nyumbani!!!!!smilies/grin.gif
4

December 04, 2008
Votes: +0
Bwashee: ...
Bora Tanzania, wangethubutu watoe hiyo waiver kwa ndugu zetu Ngeria au Haiti ingekuwa balaa.
jamaa wangevuka na ngalawa na wengine kujaribu kwa kuogelea. wanausongo na ughaibuni.
5

January 29, 2009
Votes: +0
Nyzer: ...
Daa!! Usipime........ mwanzo wenzetu Nigeria Wezi kama ninismilies/grin.gif Sidhani kama Embassy ya U.K wangeweka hizo chance........ Natamani na Bongo waanze
6

February 07, 2009
Votes: +0
Daywell: ...
Tuwajibike maisha ni popote fikra za kwenda ng'ambo kutafuta maisha zimepitwa na wakati,
7

April 18, 2009
Votes: +0
Babalao: ...
We usipime majuu kuzuri bwana, hata kama nyumbani ni nyumbani, lkn kama ukibahatika duuu!!!
8

May 23, 2010
Votes: +0

Write comment

busy
Last Updated ( Monday, 03 November 2008 )
 
Ni nani anafaa kuingoza Tanzania kama Rais kuanzia 2010-2015?
 

Photo Albums

Just $6.95/Mo
Unlimited Space, Unlimited Transfer, Free Domain
www.bluehost.com

MwanaKijiji.COM LIVE

Window Player   RealAudioPlayer   Itune Player