SITAKI serikali ikae kimya kuhusu matumizi ya helikopta ya Jeshi la Wananchi (JWTZ) iliyoanguka mkoani Arusha siku 11 zilizopita. Sitaki! Maelezo ya awali ni kwamba helikopta ya jeshi ilikuwa imebeba “watalii” kutoka Canada, Marekani, Uingereza na Australia na kwamba ilianguka na kuwaka moto.
“Covered in mist, full of legends and mystery, Mount Kilimanjaro in northern Tanzania, otherwise known as 'the roof of Africa', stands to lose its beautiful ice cap unless deliberate eff...
Movies and television series have painted Africa as a picturesque continent full of wildlife, exotic plants, and a host of indigenous tribes with their own unique traditions and rituals. While this ma...